Mon, 25 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini, Alex Ngereza amemtaka mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji kuachana na timu na badala yake aichukue Yanga SC.
"Natamani Mo Dewji anunue hisa Yanga SC aachane na Simba SC kwa sababu inaonekana watu wa Simba wanamfelisha sana kama akinunua hisa Yanga na jinsi ambavyo anajua kutumia fedha kwenye mpira Yanga wataenda kushinda taji la Afrika.
"Mkumbuke huyu ni bilionea wa Afrika anatambulika na Yanga hawajawahi kuongozwa na billionea ambaye anatambulika," amesema Alex Ngereza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live