Mon, 9 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tetesi zinasema Klabu ya Pamba Jiji ya Jijini Mwanza, huenda ikaachana na kocha wake Mkuu Mbwana Makata na hii ni kutokana na Matokeo yaliyo nje ya Matarajio yao na yasiyoridhisha.
Mpaka sasa klabu ya Pamba Jiji FC, imecheza Michezo 5 ya Ligi ya Championship na matokeo yake sio ya kuridhisha kwa timu hiyo ambayo inapambana kurudi Ligi Kuu.
Katika michezo hiyo mitano;
Ushindi 2
Sare 2
Kufungwa 1
Nafasi 7
Chanzo: www.tanzaniaweb.live