Sat, 13 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shabiki wa Yanga SC Mboto atamba mechi zilizobaki baada ya kuwa Mabingwa dhidi ya Tanzania Prisons na Mbeya City waachiwe wao mashabiki wacheze tu.
Yanga wametwaa ubingwa wa NBC Primia Ligi msimu wa 2022/23 leo Mei 13 katika Uwanja wa Azam Complex baada ya kuichapa Timu ya Dodoma Jiji Mabao 4-2 na kufikisha alama 74.
Msikilize Mboto akitamba kwenye Video fupi hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live