Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji Mtanzania Anayekipiga ndani ya ligi kuu ya Kuu ya Kenya akiwa na klab ya Kakamega Home Boyz ( @fchomeboyz ) Oscar Paul amejumuishwa kwenye kikosi bora cha wiki cha ligi kuu nchini humo,
Na hii ni baada ya kuisadia klabu yake hiyo kuibuka na Ushindi wa goli 1-0 dhidi ya @ulinzistarlets siku ya Jumapili (alifunga goli pekee la ushindi),
Oscar Paul aliwahi ichezea klab ya Tanzania Prison na timu ya Taifa ya Vijana (U-20).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live