Tue, 17 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Mbeya City imetangaza kusajili wachezaji wanne wakati wa dirisha dogo la usajili lililofungwa hivi karibuni.
Taarifa ya klabu hiyo imewataja wachezaji hao kuwa ni James Msuva, Salum Kihimbwa, Abdulazack Hamza na Charles Masenga.
Aidha Mbeya City imesema pia kuna wachezaji waliotoka klabuni katika kupindi hicho.
Imewataja kuwa ni Jukumu Kibanda na Faisal Mganga(Mkopo), Joseph Ssemujju(mwisho wa mkataba), Frank Ikobela(mapumziko nje ya kikosi/majeruhi) na Nelson Ruta na Chesco Mwasimba(waliotolewa kikosini).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live