Mon, 19 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa timu ya taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe amefanikiwa kuchukua tuzo ya mfungaji bora wa michuano ya kombe la dunia 2022.
Mbappe ameweka rekodi ya ufungaji magoli mengi katika michuoano ya Kombe la Dunia 2022 baada ya kufunga magoli 3 na kufikisha jumla ya magoli 8 akiwa mbele ya Lionel Messi mwenye magoli 7.
Argentina imeifunga Ufaransa kwa penati 4 - 2 baada ya kutoka sare ya 3 - 3 katika kipindi cha dk 120.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live