Mon, 3 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga Mfaransa Kylian Mbappé amethibitisha kwamba uhamisho wake kwenda kwa Mabingwa mara 15 wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid utatangazwa usiku wa leo.
Winga Mfaransa Kylian Mbappé amethibitisha kwamba uhamisho wake kwenda kwa Mabingwa mara 15 wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid utatangazwa usiku wa leo. Fabrizio Romano anaripoti kuwa Mbappé amemwambia Emmanuel Macron kuwa tangazo litakuwa usiku wa leo kwenye mkutano wa hadhara mapema leo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live