Sun, 13 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kylian Mbappé ameruhusiwa kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza cha PSG baada ya mazungumzo ya jana kabla ya mchezo wa ligi kuu.
Kylian Mbappé ameruhusiwa kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza cha PSG baada ya mazungumzo ya jana kabla ya mchezo wa ligi kuu. Mbappe alitolewa kwenye mipango ya klabu kutokana na kugoma kuongeza kandarasi mpya PSG huku akihusishwa sana kujiunga na Real Madrid.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live