Tue, 19 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa KRC Genk, Kelvin John ‘Mbappe’ ameongezwa katika kikosi cha timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachojiandaa na Mashindano ya FIFA Series 2024.
Mshambuliaji wa KRC Genk, Kelvin John ‘Mbappe’ ameongezwa katika kikosi cha timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ kinachojiandaa na Mashindano ya FIFA Series 2024. Kelvin aliyekosa Mashindano ya AFCON nchini Ivory Coast amerudishwa kikosini na atakuwa sehemu ya kikosi cha kocha Hemed Suleiman kilichoko nchini Azerbaijan kwa ajili ya michuano hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live