Sun, 2 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kylian Mbappe ameonekana akisaini jezi ya Real Madrid wakati alipokuwa kwenye mazoezi na timu yake ya Taifa ya Ufaransa.
Kylian Mbappe ameonekana akisaini jezi ya Real Madrid wakati alipokuwa kwenye mazoezi na timu yake ya Taifa ya Ufaransa. Mchezaji huyo alinaswa akisaini jezi hiyo ya shabiki juzi Alhamisi
Chanzo: www.tanzaniaweb.live