Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mbappe afunga Hat-trick huku PSG ikiicharaza Montpellier

Mbappe Afunga Hat Trick Huku PSG Ikiicharaza Montpellier Mbappe afunga Hat-trick huku PSG ikiicharaza Montpellier

Mon, 18 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kylian Mbappe alifunga hat-trick wakati Paris St-Germain ilipoilaza Montpellier na kupanda juu kwa pointi 12 kwenye Ligue 1.

Vitinha alifunga bao la kwanza kabla ya Mbappe kufunga bao lake la kwanza kutoka kwa kona.

Arnaud Nordin aliwafungia wenyeji naye Teji Savanier akawasawazishia.

Bao lake mshambuliaji wa Ufaransa dakika ya 50 lilipaa juu ya lango na kuingia wavuni kutokana na shambulkio kali huku Lee Kang-in na Nuno Mendes pia wakicheka na lango la PSG.

Mbappe sasa ana mabao 24 ya ligi kwa msimu huu baada ya kufunga hat-trick yake ya tatu kwenye kampeni.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live