Sun, 9 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Mashujaa FC imeanza mazungumzo ya mkataba mpya na Mlinda Mlango wake Erick Johora ili aendelee kusalia klabuni hapo kuelekea msimu ujao.
Klabu ya Mashujaa FC imeanza mazungumzo ya mkataba mpya na Mlinda Mlango wake Erick Johora ili aendelee kusalia klabuni hapo kuelekea msimu ujao. Erick alijiunga na Mashujaa akitokea Geita Gold na kusainu mkataba wa miezi sita ambao tayari umemalizika, hivyo jitihada za kuhakikisha Johora anasalia zimeanza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live