Klabu ya Ihefu imefikia makubaliano ya pamoja kuvunja mkataba miongoni mwao. Katwila ambaye misimu miwili mtawalia ameweka rekodi kuifunga Yanga SC kwenye uwanja wa nyumbani wa Highland Estates kwa bao 2 - 1 kiasi cha kuonekana kiboko ya timu hiyo ya mitaa ya Jangwani/Twiga ambayo ni bingwa mtetezi wa ligi Kuu.
Klabu ya Ihefu imefikia makubaliano ya pamoja kuvunja mkataba miongoni mwao. Katwila ambaye misimu miwili mtawalia ameweka rekodi kuifunga Yanga SC kwenye uwanja wa nyumbani wa Highland Estates kwa bao 2 - 1 kiasi cha kuonekana kiboko ya timu hiyo ya mitaa ya Jangwani/Twiga ambayo ni bingwa mtetezi wa ligi Kuu.