Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya TP Mazembe imesafiri na mashabiki wake kutoka DR Congo hadi Dar Es Salaam kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Esperance de Tunis, mchezo utakaopigwa Jumapili October 22 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, saa 12:00 Jioni.
Klabu ya TP Mazembe imesafiri na mashabiki wake kutoka DR Congo hadi Dar Es Salaam kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Esperance de Tunis, mchezo utakaopigwa Jumapili October 22 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, saa 12:00 Jioni. Mazembe iliwasili nchini Jana usiku na tayari wanajipanga kwa ajili ya mvchezo huo muhimu kwao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live