Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Pyramids FC, Fiston Mayele hajasafiri kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mechi ya CAF CL dhidi ya wenyeji wao Mamelodi Sundowns.
Mshambuliaji wa Pyramids FC, Fiston Mayele hajasafiri kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya mechi ya CAF CL dhidi ya wenyeji wao Mamelodi Sundowns. Mayele ataukosa mchezo huo Jumapili hii kutokana na issues za Visa ambazo zimefanya ashindwe kuingia Afrika ya Kusini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live