Mon, 9 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mvp na Mfungaji bora wa NBCPL msimu uliopita akiwa na Yanga Fiston Mayele ametajwa kama nyota wa mchezo (MOTM) baada ya kufunga bao pekee lililoipa timu yake alama tatu hii leo kwenye mechi ya Ligi.
Mbungi hiyo ilipigwa jana Oktoba 8, 2023. PYRAMIDS FC 1-0 ENPPI ⚽️ 13" Mayele
MECHI NYINGINE YA LIGI HIYO AL AHLY 3-1 ISMAILY ⚽️ 23" Tau ⚽️ 38" Shahat ⚽️ 65" Tau
⚽️ 90 Anoor
Chanzo: www.tanzaniaweb.live