Fri, 15 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
'Straika la Boli' Fiston Kalala Mayele, ambaye aliwahi kupita katika Klabu ya Yanga na kufanya mambo makubwa yaliyofanya ajulikane Afrika nzima.
Amewachana Wabongo (hasa wanahabari), na kuwaita 'washamba' kwa kitendo cha kuandika tetesi za usajili wake, zinazodai anataka kuvunja mkataba na Klabu ya Pyramids na kusajiliwa na moja ya vilabu vya Bongo.
Msikilize Mayele kwenye Video hapa chini akitoa povu;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live