Mshambuliaji wa Yanga, Fiston Kalala Mayele, ameibua shangwe kwa mashabiki wa Yanga baada ya kuonesha staili yake ya kutetema eneo la Msimbazi, Dar es Salaam yalipo makao makuu ya klabu ya Simba.
Mshambuliaji wa Yanga, Fiston Kalala Mayele, ameibua shangwe kwa mashabiki wa Yanga baada ya kuonesha staili yake ya kutetema eneo la Msimbazi, Dar es Salaam yalipo makao makuu ya klabu ya Simba. Mayele akiwa katika basi la wazi pamoja na wachezaji wenzake wa Yanga, baada ya gari lao kufika eneo hilo la Msimbazi, lilisimama kwa muda nay eye kutokeza mbele ya basi hilo maalum na kuonesha staili yake ya kushangilia.