Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliekuwa Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga ambae kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Pyramids FC ya Misri. Mkongo Fiston Mayele jana Oktoba 24 alikuwa ni sehemu ya Mashabiki waliofika katika Uwanaja wa Kimataifa wa Cairo kushuhudia mchezo wa Robo Fainali ya AFL kati ya Al Ahly dhidi ya Simba SC.
Mayele anawajua vizuri Simba ambapo alicheza dhidi yao mara kadhaa akifanikiwa kupachika mabao matatu.
Mtazame Mayele akiwa Uwanjani;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live