Wed, 1 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga ambaye kwasasa anacheza Pyramids ya Misri, Fiston Mayele ameingia katika kinyang'anyiro cha mchezaji anayewania tuzo za CAF kipengele cha mchezaji bora wa mwaka Afrika 2023.
Tuzo hizo zitatolewa Desemba 11 nchini Morocco.
Hii ndio orodha ya Nyota wanaowania Tuzo hiyo;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live