Thu, 23 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bao la mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele dhidi ya US Monastir alilofunga dakika ya 59' kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam limekuwa Bao Bora kwenye Kombe la Shirikisho Afrika katika mechi za mzunguko wa tano.
Bao la mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele dhidi ya US Monastir alilofunga dakika ya 59' kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam limekuwa Bao Bora kwenye Kombe la Shirikisho Afrika katika mechi za mzunguko wa tano. Bao la Mayele lilikuwa la pili katika ushindi wa bao 2-0 walioupata Yanga na hatimaye kukata tiketi ya kufuzu kwa hatua ya Robo Fainali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live