Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Young Africans Fiston Kalala Mayele leo amefunga katika mchezo wake wa tano (5) wa ligi kuu nchini Misri akiwa na kikosi cha Pyramids.
Pyramids hii leo imeibuka na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya Al Masry, na magoli mawili kati ya matatu yamefungwa na Fiston Kalala Mayele.
Mayele sasa anafikisha magoli matatu (3) kwenye mechi tano (5) za ligi hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live