Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kucheza michezo mitatu ya Ligi na miwili ya Ligi ya Mabingwa pasipo kufunga bao lolote.
Aliekuwa Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele ametoa neno kwa wale wote wanaomsema kuhusiana na kuanza kwake na ukame wa mabao katika Klabu ya Pyramid FC.
Sikiliza Video kusikia alichosema Mayele kwa wale wote wanaomuombea mabaya na kumsema vibaya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: