Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji watatu wa timu ya Taifa ya Congo hawajasafiri kwenda nchini ureno kwaajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Angola hapo kesho kutokana na visa zao kutowaruhusu kuingia nchini humo.
Wachezaji watatu wa timu ya Taifa ya Congo hawajasafiri kwenda nchini ureno kwaajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Angola hapo kesho kutokana na visa zao kutowaruhusu kuingia nchini humo. Wachezaji hao ni Fiston Mayele, Ben Malango, Baggio Siadi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live