Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mayele, Inonga benchi lawahusu vs Mauritania

Mayele X Inonga Mayele, Inonga benchi lawahusu vs Mauritania

Fri, 24 Mar 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Timu ya Taifa ya Congo inashuka Dimbani kujaribu kuibua matumaini ya kufuzu kwa Michuano ya AFCON2023.

Congo ambao tayari wamecheza michezo miwili katika Kundi I, wanaburuza mkiwa wakiwa wamepoteza michezo yote miwili.

Congo jioni ya leo wana kibarua mbele ya Mauritania na wakati kikosi cha wanaoanza katika mchezo huo kikiwekwa hadharani, hakuna jina la Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele, wala Beki wa Simba Inonga Baka ambao kwenye vikosi vya klabu zao wana uhakika wa kuanza kila mchezo.

Hiki hapa Kikosi cha Congo kinachoanza mchezo wa leo;

Chanzo: www.tanzaniaweb.live