Thu, 2 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kitu gani uwanjani asichoweza kufanya? kiungo wa Yanga Max Mpia Nzengeli!.
Niliwahi kusema kuwa amevuka uhitaji wa kupewa maelekezo ya kiufundi kwa mara ya kwanza tu nilipomuona akiwa na uzi wa Young Africans.
Nini asichoweza kufanya? Max Mpia Nzengeli ni aina ya mchezaji anaeachwa afanye kile anachotaka kulingana na mazingira yanayomkabili uwanjani.
Kwa kifupi unaweza kumdadavua kama Complete player...Simple!
Awapo Uwanjani anakuhakikishia usahihi kwa kila analofanya na tayari ameshatengeneza ufalme wake mitaa ya Jangwani.
Unamzungumziaje Maxi Mpia Nzengeli? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: