Sun, 13 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Seleman Matola anaondoka Simba kwa muda akapige shule. Matola amepata fursa ya kwenda kusoma kozi ya leseni A ya CAF, ataanza Novemba 21 ambapo atasoma kwa wiki mbili, kisha atarejea kikosini hapo kwa kuyafanyia kazi kwa vitendo mafunzo aliyoyapata.
Kocha Seleman Matola anaondoka Simba kwa muda akapige shule. Matola amepata fursa ya kwenda kusoma kozi ya leseni A ya CAF, ataanza Novemba 21 ambapo atasoma kwa wiki mbili, kisha atarejea kikosini hapo kwa kuyafanyia kazi kwa vitendo mafunzo aliyoyapata.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live