Mon, 22 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Taifa Stars Selemani Matola amekiri kuwa Stars bado ina nafasi ya kufanya vyema katika michuano ya Afcon 2023 inayoendelea kutimua vumbi Ivory Coast.
‘’Bado kundi letu lipo wazi hivyo naamini katika mchezo wa mwisho dhidi DRC Congo iwapo wachezaji wakijituma basi tunapata matokeo’’amesema Matola.
Stars kwa sasa inaburuza mkia katika kundi F wakiwa na alama 1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live