Wed, 8 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Marekani wameenda mbali kwenye teknolojia ya VAR (Video Assistant Referee) wameamua kuja na Mfumo wa utangazaji matokeo ya tukio lililoleta shida kuamua kawaida kwa sauti.
Linapotokea tukio lenye uhitaji msaada wa teknolojia na baada mwamuzi kupata uhakika kwenye marejeo ya picha (video) anawatangazia waliopo uwanjani na kwenye TV
Utaratibu huu ni tofauti na ule uliozoeleka ambapo kwenye ligi zingine linapotokea tukio linalohitaji VAR mwamuzi huwa anatumia filimbi na ishara kutoa tafsiri ya kilichooneka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live