Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Matokeo Championship, DTB yakwama

Matokeo Championship Matokeo mechi za Championship

Sun, 10 Oct 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Ligi ya Championship jana Oktoba 9 imeengia katika hatua ya raundi ya pili ambapo viwanja mbali mbali viliwaka moto.

Vinara wa Ligi timu ya DTB, ilishuhudia ikivutwa shati na kulazimishwa sare ya magoli 1-1 na timu ya Green Warriors huku wakishuhudia mshambuliaji wake Amisi Tambwe alishindwa kumaliza mchezo baada ya kufanyiwa madhambi.

Hali kadhalika timu ya African Sports imetoa kipigo kizito cha magoli 4-0 dhidi ya Mwadui FC.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live