Mon, 12 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwamuzi Mateu Lahoz ameondolewa katika mashindano ya Kombe la Dunia yanayoendelea nchini Qatar.
Katika mchezo wa mwisho aliochezesha kati ya Argentina na Uholanzi alitoa kadi za njano 15, nyingi zikilalamikiwa na wachezaji wa pande zote.
Lionel Messi ni miongoni mwa wachezaji waliozungumza wazi kutoridhishwa na maamuzi ya refa huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live