Thu, 22 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Siku chache tangu kufunguliwa kwa dirisha kubwa la usajili wa wachezaji Barani Ulaya.
Klabu ya Chelsea imewaonesha nyota wake wengi mlango wa kutokea ambao wameuzwa kwenda katika vilabu mbalimbali.
Mpaka sasa Chelsea wamewapoteza wafuatao;
N'golo Kante (Al Ittihad) Mateo Kovacic(Man City) Hakim Ziyech(Al Nassr) Edo Mendy (Al Ahli) Kalidou Koulibaly (Al Hilal) Kai Havertz (Arsenal) Mason Mount loading
Chanzo: www.tanzaniaweb.live