Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa Tanzania wanaocheza nje ya nchi Novatus Miroshi, Abdi Banda na Morice Abraham wamewasili nchini kujiunga na kambi ya Taifa Stars inayojiandaa na michezo miwili ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Niger na Morocco.
Nyota wa Tanzania wanaocheza nje ya nchi Novatus Miroshi, Abdi Banda na Morice Abraham wamewasili nchini kujiunga na kambi ya Taifa Stars inayojiandaa na michezo miwili ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Niger na Morocco. Hadi sasa tayari nyota wote 13 wanaocheza ligi za nje na waliitwa kwenye kikosi cha Stars wameshawasili nchini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live