Thu, 18 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Camavinga, Bellingham na Vinicius kadi zao za njano zote zimefutwa kuelekea nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya FC Bayern.
Camavinga, Bellingham na Vinicius kadi zao za njano zote zimefutwa kuelekea nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya FC Bayern. Isipokuwa Dani Carvajal ataukosa mchezo wa kwanza baada ya kupata kadi katika mchezo wa Robo Fainali jana Jumatano.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live