Nahodha wa Yanga SC, Bakari Mwamnyeto na mchezaji Zawadi Mauya jana baada ya mechi walifika nyumbani kwa aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo, Dickson Ambundo ambaye sasa anachezea Singida Big Stars kumfariji baada ya kufiwa na baba yake mzazi jijinj Mwanza.
Nahodha wa Yanga SC, Bakari Mwamnyeto na mchezaji Zawadi Mauya jana baada ya mechi walifika nyumbani kwa aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo, Dickson Ambundo ambaye sasa anachezea Singida Big Stars kumfariji baada ya kufiwa na baba yake mzazi jijinj Mwanza. Tayari Kikosi cha Yanga kimeshatua Jijini Dar es Salaam kutokea Mwanza walipokuwa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Geita Gold.