Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kati wa Manchester United Lisandro Martínez ameanza mazoezi tayari kwa kuipambania timu yake.
Mpaka sasa nyota wawili tayari wameripotiwa kuanza mazoezi baada ya kutoka katika majeraha.
Nyota hao ni;
Casemiro
Lisandro Martínez
Leo Jumanne Man United ina kibarua mbele ya Bayern Munich mchezo wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live