Thu, 15 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji wetu wawili wa Azam FC, Sospeter Bajana na Malickou Ndoye, wanatarajia kuondoka nchini Februari 20, mwaka huu, kuelekea jijini Cape Town, Afrika Kusini kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa majeraha yao.
Wachezaji wetu wawili wa Azam FC, Sospeter Bajana na Malickou Ndoye, wanatarajia kuondoka nchini Februari 20, mwaka huu, kuelekea jijini Cape Town, Afrika Kusini kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa majeraha yao. Wawili hao wanaosumbuliwa na majeraha kwenye nyonga, wakiwa jijini humo watatibiwa katika Hospitali ya Vincent Pallotti.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live