Wed, 6 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Leo kwenye NBC Premier League ni 'vita' ya majeshi, Mashujaa FC watakuwa katika dimba lao la Lake Tanganyika kucheza dhidi ya JKT Tanzania, mchezo huu pia utaamua nani achomoke kwenye mstari wa playoffs wa msimamo wa ligi.
Mchezo wa mkondo wa kwanza Mashujaa walipata kichapo cha 1-0 dhidi ya JKT Tanzania.
Je leo watalipa kisasi? Mbungi hii itachezwa saa 10:00 jioni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live