Wed, 22 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Chelsea imeweka sharti kwa kocha wao mpya lazima awapeleke kwenye Fainali za UEFA Champions League msimu wa 2025-2026 kama itashindikana atakuwa kajifukuzisha kazi.
Kwa sasa Chelsea inasaka Kocha mpya baada ya kuachana na Mauricio Pochettino Mei 21 mwaka huu.
Msimu Ujao Chelsea itashiriki Michuano ya Uropa Conference baada ya kumaliza nafasi ya 6 katika msimamo wa EPL.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live