Sun, 18 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mashabiki wa soka nchini Ujerumani walirusha uwanjani gari ndogo zinazotumia rimote kwenye mchezo wa Ligi daraja la pili nchini Ujerumani kati ya Hansa Rostock dhidi ya Hamburg.
Mashabiki wa soka nchini Ujerumani walirusha uwanjani gari ndogo zinazotumia rimote kwenye mchezo wa Ligi daraja la pili nchini Ujerumani kati ya Hansa Rostock dhidi ya Hamburg. Lengo la kurusha gari hizo ni kuipinga Ligi ya mpira wa miguu ya Ujerumani [DFL] kufanya uuzaji wa hisa kwa mwekezaji Binafsi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live