Thu, 30 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baadhi ya mashabiki wa Manchester United wamemjia juu golikipa, Andre Onana wakidai ndio chanzo cha kutoka sare 3-3 katika mechi ya UEFA dhidi ya Galatasaray.
Katika mitandao ya kijamii mashabiki hao wamedai Onana hakuwa mchezoni na kuruhusu mabao mepesi ambayo angekuwa makini yasingeingia huku wengine wakisema ni siku mbaya mchezoni.
Yapi maoni yako kwa kiwango chake jana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live