Mon, 11 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mashabiki wa klabu ya Manchester United wameilalamikia klabu hiyo kwa kushindwa kuiweka sokoni jezi ya mshambuliaji wao nyota Rasmus Højland aliyesajiliwa katika dirisha lililopita.
Mashabiki wa klabu ya Manchester United wameilalamikia klabu hiyo kwa kushindwa kuiweka sokoni jezi ya mshambuliaji wao nyota Rasmus Højland aliyesajiliwa katika dirisha lililopita. Manchester United inahangaika kutafuta herufi maalumu kutoka Denmark ambayo itakaa kwenye jina lake na ndio sababu ya kutoiweka sokoni Jezi hiyo kwa takribani mwezi sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live