Mashabiki wa Klabu ya zamani ya Sadio Kanoute (Putin), Al-Ahly Benghazi wamechoma moto uwanja wa Tobruk (pichani) kwa nia ya kupinga kipigo walichopokea katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Libya kutoka kwa Al-Akhdar.
Mashabiki wa Klabu ya zamani ya Sadio Kanoute (Putin), Al-Ahly Benghazi wamechoma moto uwanja wa Tobruk (pichani) kwa nia ya kupinga kipigo walichopokea katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Libya kutoka kwa Al-Akhdar. Timu hiyo ilipotezwa kwa mikwaju ya penati na ndio chanzo cha kuleta fujo hizo mpaka kuuwasha uwanja moto huku wengi wao pia wakiitaka bodi ya wakurugenzi wa timu hiyo kujiuzulu.