Mashabiki wa Yanga wanatamba tu: “Ndugu zetu Simba waje waangalie mchezo” sehemu ya maneno ya mmoja wa mashabiki wa Yanga akitamba kuelekea mechi yao ya pili hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) dhidi ya Al Ahly hapo Desemba 2, 2023
Tazam Video hapa chini kusikia kinachosemwa na Mashabiki wa Yanga kuelekea mchezo huo;
MASHABIKI YANGA WANATAMBA TU: “Ndugu zetu Simba waje waangalie mchezo” sehemu ya maneno ya mmoja wa mashabiki wa Yanga akitamba kuelekea mechi yao ya pili hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) dhidi ya Al Ahly hapo Desemba 2, 2023
— Azam TV (@azamtvtz) November 27, 2023
(Imeandikwa na @allymuftiTZ )… pic.twitter.com/bUwomiVk7Z