Wed, 16 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Fountain Gate imetangaza kuwasafirisha mashabiki wao waliopo Singida hadi Dar es salaam ili kushuhudia mchezo wao wa kwanza wa Kombe la shirikisho Barani Afrika dhidi ya JKU ya Zanzibar.
Klabu ya Singida Fountain Gate imetangaza kuwasafirisha mashabiki wao waliopo Singida hadi Dar es salaam ili kushuhudia mchezo wao wa kwanza wa Kombe la shirikisho Barani Afrika dhidi ya JKU ya Zanzibar. Singida itacheza mchezo wake wa kwanza wa kimataifa Ijumaa hii saa 1:30 Jioni katika uwanja wa Azam Complex Chamazi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live