Klabu ya Simba imeanza kufanya hamasa jijini Dar kwa ajili ya kuita mashabiki uwanja wa Mkapa Jumapili Oktoba 16 itakapovaana na Primeiro de Agosto ya Angola mechi ya kuwania kufuzu hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Katika hamasa hiyo leo ikiwa Temeke wamegawa biriani kwa mashabiki wake.
Klabu ya Simba imeanza kufanya hamasa jijini Dar kwa ajili ya kuita mashabiki uwanja wa Mkapa Jumapili Oktoba 16 itakapovaana na Primeiro de Agosto ya Angola mechi ya kuwania kufuzu hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Katika hamasa hiyo leo ikiwa Temeke wamegawa biriani kwa mashabiki wake. Mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa nchini Angola, Simba iliibuka na ushindi wa magoli 3-1.