Thu, 19 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mashabiki wa Simba wanaendelea kufanya kweli ambapo tayari wamekaribia kufunga zoezi la kununua tiketi zote elfu sitini.
Takwimu walizozitoa Simba SC kupitia ukurasa wao wa Instagram, tayari tiketi za Platinum pamoja na zile za Mzunguko. Tiketi zilizosalia ni katika eneo la VIP B, C na Machungwa.
VIP B imebaki asilimia 5, VIP C imebaki asilimia 4 huku Machungwa ikiwa imebaki asilimia 10.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live