Wed, 14 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mashabiki wa Klabu za Simba na Yanga, wamezichapa hadharani punde baada ya kufika Visiwani Zanzibar baada ya kushindwana kwa maneno.
Mashabiki hao wamefika visiwani hapo kuelekea katika Tamasha la Kizimkazi Festival, na leo wana jambo kuelekea Tamasha hilo.
#MICHEZO: Mashabiki wa Klabu za Simba na Yanga, wamezichapa hadharani punde baada ya kufika Visiwani Zanzibar baada ya kushindwana kwa maneno.
— EastAfricaTV (@eastafricatv) August 14, 2024
Mashabiki hao wamefika visiwani hapo kuelekea katika Tamasha la Kizimkazi Festival, na leo wana jambo kuelekea Tamasha hilo.… pic.twitter.com/UT93WAc1hj
Chanzo: www.tanzaniaweb.live