Sat, 28 Aug 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mashabiki wa Mpira wa Klabu za Simba SC na Yanga Katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga Wajitolea kujenga na kukamilisha Vyumba 4 vya Madara katika Shule ya Msingi Nyahanga.
Mashabiki hao walichangia kiasi cha Shilingi Milioni 9 na ukamilishaji wake umefanywa kwa kutumia mapato ya ndani ya Manispaa ya Kahama.
Vyumba hivyo vinne vya Madarasa vimefunguliwa leo Agosti 27 na Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live