Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mashabiki wa Everton wataandamana katika mechi yao ya Jumapili dhidi ya Manchester United kwenye Uwanja wa Goodison Park na kwasababu ya kupokonywa pointi 10 kutoka kwenye Ligi Kuu ya Uingereza.
Mashabiki wa Everton wataandamana katika mechi yao ya Jumapili dhidi ya Manchester United kwenye Uwanja wa Goodison Park na kwasababu ya kupokonywa pointi 10 kutoka kwenye Ligi Kuu ya Uingereza. Hali hiyo imepelekea Mashabiki wa klabu hiyo kuamua kuandamana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live